Sunday, September 30, 2012

BONDIA FRANCIS CHEKA AMCHAKAZA KARAMA RAUNDI YA SITA

Bondia Francis Cheka akinyooshwa mkono juu na mmoja wa mashabiki wa Kigeni waliokuja kuangalia mpambano wake dhidi ya Karama Nyilawila. Cheka alishinda katika raundi ya sita baada ya Karama kusalimu amri, kushoto ni Rais wa PST Emmanuel Mlundwa na wa pili kulia ni mgeni rasmi Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum Mkoa wa Dar es Salaam,

 

Bondia Karama Nyilawila (kulia) akijitahidi kukwepa makonde ya mpinzani wake Francis Cheka wakati wa mpambano wao uliofanyika jana usiku.        
Mabondia Karama  na Francis Cheka wakizidi kutupiana masumbwi.
Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.co

No comments:

Post a Comment