Mabao ya PSG
yalifungwa na Javier Pastore na Zlatan Ibrahimovic na kuwafanya
wafikishe Pointi 9 kwa Mechi 5 wakiwa Pointi 3 nyuma ya vinara Olympique
Marseille ambao watacheza ugenini Jumapili na Nancy.
Mabingwa Montpellier,
ambao Jumanne ndio wataanza kucheza kwa mara ya kwanza UEFA CHAMPIONZ
LIGI dhidi ya Arsenal, sasa wamekamata nafasi ya 14 baada ya kuchapwa
bao 3-1 na Timu mpya Stade de Reims.
Stade de Reims walitangulia kufunga kwa bao la Diego lakini Montpellier wakasawazisha kwa bao la Remy Cabella.
Christopher Glombard na Gaaetan Courtet ndio walipiga bao mbili nyingine kwa Stade de Reims na kuwapa ushindi wa bao 3-1.
LIGI 1-RATIBA/MATOKEO:
Ijumaa Septemba 14
PSG 2 Toulouse 0
Stade de Reims 3 Montpellier 1
Jumamosi Septemba 15
ES Troyes AC v Lille OSC
Nice v Brest
Evian Thonon Gaillard FC v Bastia
Jumapili Septemba 16
Olympique Lyonnais v AC Ajaccio
AS Nancy Lorraine v Olympique de Marseille
No comments:
Post a Comment