Sunday, September 9, 2012

PAJA LA ROSE LUCAS ( MISS REDD'S KANDA YA MASHARIKI) LINATIA AIBU

Paja la Rose Lucas - Miss Redds Kanda ya Mashariki 2012  limegeuka  na  kuwa  gumzo  miongoni mwa  watu walioshuhudia  shndano  hilo la Miss  Redd's......

Wakizungumza  kwa  nyakati  tofauti  na  mtando huu,  wadau mbali mbali wameitupia  zigo  la  lawama  kamati  nzima  ya  mandalizi ya  Umiss  hapa nchini wakidai kuwa   kamati hiyo imekuwa  mstari wa mbele katika  ubomoaji wa  maadili....

Wadau hao amedai kuwa Mavazi yanayotumiwa  hayana tija kwa  sababu huwafanya watoto wa kike kuanika viungo vyao vya ndani hadharani, mfano MAPAJA  na MATITI   ambavyo  vyote ni viungo nyeti.

 

 

"Kamati  imekuwa ikiandaa  watoto wenye mising mibovu katika  jamii.Wale  wote tunaowapigia  kelele katika  jamii   ya leo wote  walianza na Umiss   flani. Angalia mwenendo wa Wema  sepetu, Isebella, na wengine.Wote hawa  walipitia  Umiss  lakini leo hawashikiki"..Alisema mdau mmoja  tuliyeomba maoni yake  juu  ya  uvaaji huu

No comments:

Post a Comment