Tunayofuraha kukupa taarifa rasmi kuwa Tasnia ya Filamu Tanzania
sasa imepata tamasha la kuonyesha sinema za kiswahili (Bongomovies).
Tamasha litafanyika tarehe 24-26, Septemba 2013, katika Viwanja Vya Posta-Kijitonyama.
Pia Workshop, Exhibition na Film Forum vitafanyika.
Kiingilio ni Bure!!!!
Samabaza Ujumbe kwa wapenzi wa filamu.
Kwa habari zaidi tembelea www.filamucentral.co.tz
Na kwa taarifa zaidi sikiliza na tazama vyombo vya habari
No comments:
Post a Comment