Sunday, June 3, 2012

ALIVYOTIRIRIKA BOB JUNIOUR KWA UPANDE WAKE



BOB JUNIOR
 1: Nani msanii mkali kati yako wewe na Diamond?

Mimi ni zaidi ya msanii, najua kuimba, kucheza, napigwa karibia vyombo vyote vya muziki.Mimi ni mwanamuziki niliyekamilika Diamond yupo nyuma sana.
2:Diamond angekuwa msanii, kazi gani nyingine ingemfaa?
Udalali ungemfaa sana, kwani alishawahi kunikodishia watu Coaster nzima waje kwenye show kunizomea Billz.
3: Between you two nani ana demu mkali?
Demu wangu is the finest chick in town, kuanzia reception, figure, mpaka maadili sidhani kama demu wa Diamond ana sifa hizi.
4: Nani anatisha kati ya "Wasafi" na "Masharobaro"?
Masharobaro we are best in town kwa sasa, tumethibitisha kwa mambo mengi ikiwemo kumtoa Diamond kimuziki.Masharobaro a.k.a Mashombeshombe ni hatari.
5:Kwa kunyuka pamba nani anamfunika mwenzie?
Mimi ni raisi wa masharobaro, wasafi na watanashati duniani, Do you think Diamond anaweza kugusa huu moto? aaah you cant be serious¡¡¡¡¡¡¡¡¡¡.
6: How would you rate Diamond out of 10/10?
Nawaachia fans wamchagulie ngapi apewe chini ya namba 4.
7: In the ring wewe na Diamond, nani angeibuka mshindi?
Sekunde 10 za raundi ya kwanza pambano limeisha, maana nitapiga upper cut chini ya kidevu, mtoto wa Tandale chaliiiii.
8: Unapewa nafasi ya kumshauri Diamond, unamwambia nini?
Aende shule akajifunze muziki, ili aweze japo kufikia robo ya level yangu.

No comments:

Post a Comment