Sunday, June 3, 2012

INTERVIEW DIAMOND VS BOB JUNIOUR


DIAMOND PLATNUMZ
 1: Who's the best artist between you and Bob Junior?

Everbody knows that Diamond ni hatari kuanzia kimashairi, kuimba, mpaka kwenye performance, that's why kila siku napiga show nje kuanzia Italy, Sweden, Holland, na Greece.Mkata viuno cant touch this milele.
2: Unadhani Bob Junior asingekuwa mwanamuziki angekuwa nani?
Haihitaji kuongea sana kuhusu hili, kutokana na kujua kukatika kama Fifi Moto, basi ningemuajiri kama mcheza shoo wangu.
3: Nani anamiliki mtoto mkali?
My galfriend is best thing that Bob Junior will never have, hivyo sihitaji hata kusema zaidi nisije nikakufuru bure.
4: Which one is the best "Wasafi" or "Sharobaro"?
Wasafi ndio kila kitu, tunajua kupendeza, kutafuta mkwanja na ndio maana tuna maendeleo.What's hell is Sharobaro?
5: Kwa mitupio nani anamuongoza mwenzie?
We mimi noma, wajanja wa town wanakoma na pamba zangu, Sharobaro atabaki kuwa Junior kwenye suala hili and i'll alwayz be his senior.
6: Out of 10, unampa ngapi Bob Junior kama mwanamuziki?
Nafikiri tatu zitamtosha kabisa.
7: Imagine upo ulingoni na Bob Junior, Shabaro angedumu kwa round ngapi?
Round ya kwanza hamalizi, nitampiga kwa KO kali hadi madokta wa hospitali waombe PF3 ya IGP Mwema.
8: Nafasi ya kumshauri Bob Junior hii hapa, unamshauri nini?
Aongeze juhudi katika uproduyza, na akubaliane na ukweli muziki wa Diamond ni platnum, hivyo asijaribu kushindana nao.

No comments:

Post a Comment