Wednesday, August 29, 2012

Huu ni mkono wa Aunt Ezekiel na hiyo ndio pete aliyovishwa na mchumba wake Dubai.

Stori kamili ni kwamba bado mpaka sasa movie star wa Tanzania Aunt Ezekiel hajaolewa ila pete ya uchumba tayari ameshavalishwa kwenye party iliyofanyika huko Dubai, ndoa ni mwezi november na itafanyika hukohuko Dubai.

Aunt amesema aliemvisha pete ya uchumba sio mwigizaji wala mtu maarufu wa Tanzania kwa sababu huwa hapendi kuwa kwenye mapenzi na staa, mumewe mtarajiwa ni Sunday Demonte…. na anauhakika huyu wa sasa atakua tofauti na mwanaume aliekua nae 2008/2009 aliekua anampiga na kumnyanyasa kila siku.

Aunt amesema ndoa yake itakayofungwa Dubai itahudhuriwa na watu 100 tu. Aunt amezungumza pia mengine kuhusu kubadili dini na kufata dini ya mume, kuhamia Dubai pamoja na ishu nyingine….Endelea  kuwa  nasi

No comments:

Post a Comment