Monday, August 27, 2012

SABABU 5 KWANINI LIGI KUU YA ENGLAND NDIO BORA DUNIANI

Inapewa sifa kuliko inavyostahili? Labda. Lakini kuna sababu kwanini English Premier League inaonekana kwa upana zaidi kama ligi bora kabisa ya ndani ya nchi duniani kote.

Huku ikiwa na miaka 20 tangu kuanza kwake, Premier league imekuwa chombo kilichobadilishwa namna soka inavyoangaliwa, mpaka inavyochezwa.

Premier league ilizaliwa mwaka 1992 kutokana na matamanio ya vilabu vikubwa vya England kupata faida kubwa kutokana na haki za matangazo ya Televison.

Ulikuwa ni muda ambao soka la England lilikuwa linatoka kwenye muda ambao ulikuwa ni giza la uhuni, ukosefu wa mashabiki viwanjani na ukosefu wa mvuto.

Huku kukiwa na uwepo wa fedha nyingi, utangazwaji na hamu ya kutaka kuiteka dunia, Premier league inaendelea kuitawala tasnia ya soka duniani leo hii.

Hizi ndio sababu 5  kwanini Premier League ndio ligi bora duniani.

No comments:

Post a Comment