Saturday, July 7, 2012

THERESIA KIMARO NDIE REDD'S MISS TANGA 2012,A.K.A TEDDY.Eckernforde juu yatoa mshindi wa kwanza na wa pili,Tino na ido mpooooo....!!


 Redd's Miss Tanga 2012,Theresia kimaro a.k.a Teddy(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili,Beatroce Joseph a.k.a Ruth wote kutoka ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY na wa tatu Johari Harom muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindalo lao lilofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga leo.

                                                             washiriki walioingia tano bora.


                                                                        Washiriki wote stejini.



1 comment: